Friday, November 4, 2011

Mwenyekiti Mpya wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dodoma Balozi Juma Mwapachu(katikati) akitembelea Chuo hicho leo  katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwe na Rais kushika nafasi hiyo .wengine kulia ni Prof Ludovick Kinabo na kushoto ni Dr Rex  J .Kidyalla mkurungenzi wa Maktaba UDOM



 Mwenyekiti Mpya  Baraza  la Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) Balozi Juma Mwapachu akiongea na Wanafunzi wa  Chuo  cha Sayansi  ya  Tiba  alipotembelea Chuo hapo leo

Mwenyekiti  Mpya wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) akitembelea  baadhi ya meneo ya Chuo hicho kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa na Mhe Rais hivi karibuni
(Picha zote na Ibrahim  Joseph)
.

No comments:

Post a Comment