www.dodomaleo.blogspot.com
Sunday, October 16, 2011
DODOMA BENKI ASUBUHI HII HALI IKO HIVI
Baada ya Boom kutoka wanafunzi wa vyuo vya elimu ya Juu Mkoani Dodoma hali leo asubuhi ilikuwa hivi pale CRDB!!!! Ni mwendo wa mkorogano, watu wamejihimu kupanga foleni tangu saa 11 asubuhi !!!!!!
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment