Baadhi ya Waendesha pikipiki wakiwa kwenye maandamano ya maadhimisho ya kilele cha wiki ya nenda kwa usalama Mkoa wa Dodoma leo katika barabara ya Nyerere |
Blasband ya Jeshi la JKT Makutupora wakiongoza maandamano ya maadhimisho ya kilele cha wiki ya nenda kwa usalama Mkoani hapa leo jioni katika barabara ya Nyerere |
Wanafunzi wa Shule mbalimbali Mkoani hapa wakiwa kwenye maandamano ya maadhimisho ya kilele cha wiki ya nenda kwa usalama Mkoa wa Dodoma leo |
No comments:
Post a Comment