Friday, October 21, 2011

MAADHIMISHO YA WIKI YA NENDA KWA USALAMA DODOMA

Baadhi ya Waendesha pikipiki wakiwa kwenye maandamano ya  maadhimisho ya kilele cha wiki ya nenda kwa usalama Mkoa wa Dodoma leo katika barabara ya Nyerere


Blasband ya Jeshi la JKT Makutupora wakiongoza  maandamano ya maadhimisho ya kilele cha  wiki ya nenda kwa usalama Mkoani hapa  leo jioni katika barabara ya Nyerere

Wanafunzi wa Shule mbalimbali Mkoani hapa wakiwa  kwenye maandamano ya  maadhimisho ya kilele cha wiki ya nenda kwa usalama Mkoa wa Dodoma leo

No comments:

Post a Comment