![]() |
Haaaa! agweeeee!!! ushanipiga!!!!!!! ndivyo anavyoonekana huyu mdau katika viwanja vya Nyerere square katika manispaa ya Dodoma |
![]() |
Hii moja ya kona muhimu katika manispaa ya DODOMA |
![]() |
Hapa ndiyo kwa Babu kama wanavyoita vijana wa vyuo vya elimu ya Juu, ambapo utawakuta mishale ya jioni wameanika migongo hapa kupunga upepo huku wengine wakisukumana kwenye ATM upande wa pili!!! |
![]() |
Hapa barabara ya Moja kwa moja kuelekea Bungeni |
![]() |
Hapa ni kiwanja maarufu chaWimp kama hujafika hapa umechelewa, juisi kwa wingi, alamba alamba, hata kushangaa tu inawezekana ama kutega mitego!!!!! |
No comments:
Post a Comment