Sunday, October 16, 2011

ENDELEA KUWA NASI DODOMA LEO

Haaaa! agweeeee!!! ushanipiga!!!!!!! ndivyo anavyoonekana huyu mdau katika viwanja vya Nyerere square katika manispaa ya Dodoma


Hii moja ya kona muhimu katika manispaa ya DODOMA
Hapa ndiyo kwa Babu kama wanavyoita vijana wa vyuo vya elimu ya Juu, ambapo utawakuta  mishale ya jioni wameanika migongo hapa kupunga upepo huku wengine wakisukumana kwenye ATM upande wa pili!!!

Hapa barabara ya Moja kwa moja kuelekea Bungeni

Hapa ni kiwanja maarufu chaWimp kama hujafika hapa umechelewa, juisi kwa wingi, alamba alamba, hata kushangaa tu inawezekana ama kutega mitego!!!!!





No comments:

Post a Comment