Monday, October 17, 2011

WAWILI WANAPOAMUA KUACHA UKAPERA!!!


Bw Walter Mnuo na Bi Angela Mndeme wakivishana pete kama ishara ya kufunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT -Dodoma Mjini



Mchungaji Ndosi akimpa mkono wa hongera bwana Harusi Warter Mnuo mara  baada ya ibada ya ndoa iliyofungwa  mwishoni mwa wiki katika Kanisa la KKKT Dodoma


Maharusi na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya shughuli hiyo wakiwa katika picha ya pamoja nje ya ukumbi wa kanisa  la KKKT Dodoma


No comments:

Post a Comment