Bw Walter Mnuo na Bi Angela Mndeme wakivishana pete kama ishara ya kufunga pingu za maisha katika kanisa la KKKT -Dodoma Mjini |
Mchungaji Ndosi akimpa mkono wa hongera bwana Harusi Warter Mnuo mara baada ya ibada ya ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki katika Kanisa la KKKT Dodoma |
Maharusi na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya shughuli hiyo wakiwa katika picha ya pamoja nje ya ukumbi wa kanisa la KKKT Dodoma |
No comments:
Post a Comment