wakazi wa Njedengwa Manispaa ya Dodoma wakihamisha vyombo vyao baada ya nyumba zao kubomolewa na CDA |
Mabaki ya mabomu yaliyotumiwa na Polisi kuwaondoa wakazi wa Njedengwa Dodoma |
FFU |
Mama ambaye jina lake halikupatina akiwa amezimia baada ya kubomolewa nyumba yake huko Njedengwa Dodoma |
Moja ya majeruhi akisidikizwa na Muuguzi baada ya kujeruhiwa na Polisi katika Zoezi la kuwabomolea Wananchi wa Njedengwa Dodoma |
Polisi akiangalia silaha za asili zilizotumiwa na Wananchi kupambana na waliokuwa wakibomoa makazi yao |
Tinga tinga likibomoa nyumba za Wananchi waliodaiwa kuvamia na kujenga eneo la Mwekezaji Njedengwa Dodoma |
Waandishi wa habari nao walikumbana na mabomu wakati walipokuwa wanatekelza majukumu yao katika tukio la kuvunjiwa nyumba wakazi wa Njedengwa Dodoma,hapa wakinawa uso kupunguza makali ya mabomu |
![]() |
Tingatinga likibomoa moja ya nyumba |
No comments:
Post a Comment