Saturday, October 22, 2011

picha tukio la kuvunjwa nyumba njedengwa hapa Dodoma

wakazi wa Njedengwa Manispaa ya Dodoma wakihamisha vyombo vyao baada ya nyumba zao kubomolewa na CDA

Mabaki ya mabomu yaliyotumiwa na Polisi kuwaondoa wakazi wa Njedengwa Dodoma

FFU

Mama ambaye jina lake halikupatina akiwa amezimia baada ya kubomolewa nyumba yake huko Njedengwa Dodoma

Moja ya majeruhi akisidikizwa na Muuguzi baada ya kujeruhiwa na Polisi katika Zoezi la kuwabomolea Wananchi wa Njedengwa Dodoma

Polisi akiangalia silaha za asili zilizotumiwa na Wananchi kupambana na waliokuwa wakibomoa makazi yao

Tinga tinga likibomoa nyumba za Wananchi waliodaiwa kuvamia na kujenga eneo la Mwekezaji  Njedengwa Dodoma

Waandishi wa habari nao walikumbana  na mabomu wakati walipokuwa wanatekelza majukumu yao katika tukio la kuvunjiwa nyumba wakazi wa Njedengwa Dodoma,hapa wakinawa uso kupunguza makali ya mabomu

Tingatinga likibomoa  moja ya nyumba

No comments:

Post a Comment